Victoria Magar
Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti la Uasin Gishu Josphat Lowoi amesema kuwa bunge hilo halina haraka ya kupitisha mswada wa BBI, huku bunge thelathini na nane zikipitisha mswada huo nchini kupisha kura ya maamuzi.
Hapo Jana, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga alipongeza kaunti zilizo pitisha mswada wa BBI.
Hata hivyo Uasin Gishu yasalia kuwa eneo sugu la kumuunga mkono Naibu wa Rais William Ruto anaye ipinga kamili ya BBI
Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti la Uasin Gishu Josphat Lowoi alisema kuwa bado wanapanga kuupeleka mswada huo wa BBI kwa wananchi ili kuwapa mafunzo kuhusu mswada huo waweze kuelewa na kuweza kufanya maamuzi mwafaka Wakati ufao.
“Tutatoa nakala kadhaa za BBI ilikuwapa wananchi waweze kuichambua pamoja na hata nakala zingine zitawekwa kwenye mtandao iliwale watakosa nakala wataweza kuichambua kupitia kwenye mtandao.”
Aliongeza kwa kusema kuwa wamechagua vituo thelathini vya kujadili za umma kwani kila wadi itashughulikia wakaazi wake.
Chebet departed JKIA (Jomo Kenyatta International Airport) over the weekend, transiting through Dubai before arriving… Read More
Nairobi, Kenya – June 19, 2025 – Kenyan Photojournalist Dishon Amanya Wins Global Award for… Read More
Nairobi, Kenya – June 10, 2025, 03:03 PM EDT President William Samoei Ruto has officially… Read More
On June 1, 2025, the latest election data from Siaya, Kisumu, Homabay, Busia, and Migori… Read More
Kobujoi, Nandi County – May 25, 2025 Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has issued a… Read More
Lurambi, Kakamega County, May 25, 2025 – Kakamega Senator Boni Khalwale has strongly criticized President… Read More