NEWS

Uasin Gishu yasalia Bila kujadili Kura ya BBI bungeni

Share

Victoria Magar

Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti la Uasin Gishu Josphat Lowoi amesema kuwa bunge hilo halina haraka ya kupitisha mswada wa BBI, huku bunge thelathini na nane zikipitisha mswada huo nchini kupisha kura ya maamuzi.

Hapo Jana, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga alipongeza kaunti zilizo pitisha mswada wa BBI.

Hata hivyo Uasin Gishu yasalia kuwa eneo sugu la kumuunga mkono Naibu wa Rais William Ruto anaye ipinga kamili ya BBI

Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti la Uasin Gishu Josphat Lowoi alisema kuwa bado wanapanga kuupeleka mswada huo wa BBI kwa wananchi ili kuwapa mafunzo kuhusu mswada huo waweze kuelewa na kuweza kufanya maamuzi mwafaka Wakati ufao.

“Tutatoa nakala kadhaa za BBI ilikuwapa wananchi waweze kuichambua pamoja na hata nakala zingine zitawekwa kwenye mtandao iliwale watakosa nakala wataweza kuichambua kupitia kwenye mtandao.”

Aliongeza kwa kusema kuwa wamechagua vituo thelathini vya kujadili za umma kwani kila wadi itashughulikia wakaazi wake.

Maisha Television Editorial Desk

Maisha TV Kenya is the KUZA AWARDS 2022 fastest growing TV Station. .................. 📺 Tune in to Channel 108 on StarTimes, 808 on GOTV, or any free-to-air decoder and join our community of over 8 million viewers! 🌍 1️⃣ Award-Winning Content: (KUZA AWARDS FASTEST GROWING TV 2022) Get ready to experience top-notch, critically acclaimed programs that will leave you inspired and informed. 2️⃣ News at Your Fingertips: Stay up-to-date with the latest breaking news, current affairs, and in-depth reporting. 3️⃣ A Wealth of Knowledge: Expand your horizons with fascinating educational shows, documentaries, and enlightening discussions. Broadcasting in Kisumu, Kitale, Bungoma, Vihiga, Siaya, Migori, Webuye, Kakamega, Homabay, Mumias, Malaba, Moi's Bridge, Makutano, Kapenguria, Busia, Lwakhakha, Mt. Elgon, Turbo, Malava, Yala, Kisii, and its environs Website: maishatv.co.ke || Twitter: maishatvke || Facebook: Maisha Television Kenya || Instagram: maishatvke

Published by
Maisha Television Editorial Desk

Recent Posts

Maisha TV’s Ridah Chebet Selected as Kenya’s Sole Delegate to RT Academy 2025, Moscow

Chebet departed JKIA (Jomo Kenyatta International Airport) over the weekend, transiting through Dubai before arriving… Read More

3 months ago

Kenyan Photojournalist Dishon Amanya Captivates Global Audiences with Powerful Visual Storytelling

Nairobi, Kenya – June 19, 2025 – Kenyan Photojournalist Dishon Amanya Wins Global Award for… Read More

4 months ago

President Ruto Appoints New IEBC Commissioners

Nairobi, Kenya – June 10, 2025, 03:03 PM EDT President William Samoei Ruto has officially… Read More

4 months ago

Election Dynamics in Nyanza: Can Raila Sway Voters for Ruto in 2027 Amid Historical Apathy?

On June 1, 2025, the latest election data from Siaya, Kisumu, Homabay, Busia, and Migori… Read More

4 months ago

Kenya Government Vows to Disarm Gachagua’s Alleged Private Militia Amid Incitement Allegations

Kobujoi, Nandi County – May 25, 2025 Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has issued a… Read More

5 months ago

Kakamega Senator Boni Khalwale Slams Proposed Exam Fee Removal, Warns of Harm to Poor Students

Lurambi, Kakamega County, May 25, 2025 – Kakamega Senator Boni Khalwale has strongly criticized President… Read More

5 months ago