Uganda yatangaza timu ya wachezaji 28 kwa AFCON ya 2027
Kocha mkuu wa timu ya Uganda Paul Put ametangaza timu ya wachezaji 28 kwa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) la 2027. Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), michuano ya hatua ya makundi itaanza mwezi huu, na kuendelea hadi mwezi Machi mwakani. Put alitangaza timu ya wachezaji Alhamisi kabla ya mechi za…
Kenya yaanzisha mpango wa kukabiliana na El Nino ili kulinda mifugo
Kenya imeanzisha mpango wa hatua za mapema kukabiliana na athari za El Nino kwa sekta ya mifugo Alhamisi wiki hii, ukiwa na thamani ya shilingi za Kenya bilioni 2.1 (takriban dola za kimarekani milioni 16.2). Waziri wa maendeleo ya mifugo na kilimo Bw. Mutahi Kagwe amesisitiza ahadi ya serikali ya kulinda uchumi wa mifugo kwa…
Watu 26 wafariki katika ajali ya moto shuleni mashariki mwa DRC
Vyombo vya habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) vimeripoti kuwa, wanafunzi 26 wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali ya moto mkubwa uliozuka jana huko Bukavu, mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa nchi hiyo. Ripoti hizo zinasema, miili ya marehemu imepelekwa hospitali za eneo hilo, na idadi kamili ya watu…
Umoja wa Mataifa waunga mkono juhudi za kupambana na kipindupindu nchini Sudan
Ofisi ya Umoja wa Mataifa Inayoratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema, Umoja wa Mataifa na washirika wake wa kibinadamu wanaendelea kuunga mkono juhudi za kupambana na kipindupindu nchini Sudan na kutoa msaada muhimu kwa wahitaji licha ya changamoto za usalama. OCHA imesema kutokana na msaada wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mamlaka za afya zimezindua…
Rais Xi Jinping atoa salamu za Siku ya Walimu, akihimiza kulea vijana wenye uwezo kwa uhuishaji wa taifa
Rais Xi Jinping wa China ametoa salamu kwa walimu na waelimishaji kote nchini kabla ya Siku ya Walimu inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 10 Septemba. Kwenye ujumbe wake wa pongezi, Rais Xi ametoa wito kwa walimu nchini kote kuimarisha umahiri na uwezo wao na kukuza kizazi kipya cha vijana kubeba majukumu yao ya kutimiza ustawi mpya…
Naibu waziri Mkuu wa China atoa wito wa uwazi na ushirikiano zaidi katika sekta ya huduma
Naibu Waziri Mkuu wa China, Bw. Ding Xuexiang, amesema kuendeleza biashara ya huduma na kuhimiza uwazi na ushirikiano katika sekta ya huduma si chaguo la China tu bali pia ni hitaji la dunia. Bw. Ding amesema kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Biashara ya Huduma wa mwaka 2026 uliofanyika mjini Beijing, kuwa China imehimiza kikamilifu biashara…
Katibu mkuu wa UM ahimiza kurejesha mazungumzo kati ya Russia na Ukraine
Msemaji wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Stéphane Dujarric amesema, katibu mkuu Bw. António Guterres anataka juhudi za kidiplomasia za hivi karibuni ziwezeshe kurejeshwa kwa mazungumzo kati ya Russia na Ukraine. Kwenye mkutano wa kawaida na wanahabari, Bw. Guterres amefurahia juhudi za kidiplomasia ikiwemo ziara ya mjumbe maalumu wa Marekani huko Moscow na…
Raia wa kigeni nchini Kenya wana siku 90 kuwa na vibali vya kazi
Kenya imewapa raia wa kigeni wanaoendesha biashara ndogo ndogo siku 90 za kuratibu hadhi yao ya uhamiaji, vibali vya kazi na leseni za biashara. Msemaji wa Ikulu ya Kenya Bw. Hussein Mohammed, amesema kazi hiyo itaratibiwa na balozi za raia wageni, na kuwapa fursa iliyo wazi na iliyopangwa ya kuratibu ukaazi wao na shughuli za…
Kundi la Hamas lasema lengo la Israel kusafisha kifusi huko Gaza ni kufuta “ushahidi wa uhalifu wa vita”
Kundi la Hamas lilitoa taarifa tarehe 7 Septemba likidai serikali ya Israel na jeshi lake wanajaribu kusafisha na kuhamisha kifusi huko Ukanda wa Gaza ili kuficha uhalifu waliowatendea watu wa Palestina. Taarifa hiyo imesema miili ya maelfu ya wahanga bado imezikwa chini ya kifusi, ambayo ni ushahidi wa moja kwa moja unaoweza kuthibitisha “uhalifu wa…
Mjumbe maalumu wa UM atahadharisha kuhusu hatari ya kuzorota kwa hali ya Yemen
Mjumbe maalumu wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Yemen Bw. Hans Grundberg tarehe 7 Septemba alitoa taarifa akisema kundi la Houthi hivi karibuni limefanya mashambulizi katika mistari kadhaa nchini Yemen, kusababisha kuongezeka kwa mapambano ya kisilaha, na kuongeza hatari ya kuzorotesha mgogoro wa nchini humo, hali inayoleta wasiwasi mkubwa. Taarifa imesema…