Umoja wa Mataifa wazindua mpango wa elimu wa dola milioni 22 kwa watoto wa Sudan
Mgogoro wa muda mrefu wa Sudan umewazuia mamilioni ya watoto kwenda shule, na kuwaacha wengi bila mahali salama pa kujifunza. Kwa mujibu wa “Education Cannot Wait”, mfuko wa elimu duniani wa Umoja wa Mataifa, takriban watoto milioni nane—karibu nusu ya watoto milioni 17 wa Sudan wenye umri wa kwenda shule—hawaendi shuleni. Idadi kubwa ya shule…
Africa CDC yaonya kuhusu kuenea kwa kasi kwa mlipuko wa Ebola kijiografia nchini DRC
Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimeelezea wasiwasi kuhusu kuenea kwa kasi kwa mlipuko wa Ebola kijiografia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambapo idadi ya watu waliothibitishwa kuwa na ugonjwa huo imezidi 5,500.Meneja wa shughuli za kukabiliana na Ebola katika Africa CDC Wessam Mankoula akihutubia mkutano wa Ngazi ya…
Maye Musk :” Mimi na Elon Musk sote tunaipenda sana China.”
Hivi karibuni Maye Musk mwenye umri wa miaka 78 aliwasili mjini Shanghai, nchini China, akianza safari yake ya pili nchini katika kipindi cha chini ya miezi mitano. Maye amehojiwa na CMG, akisema kuwa China imejaa nguvu na fursa, na maendeleo ya haraka ya China daima yanaleta mshangao mpya kwa ziara zake. Awali, mama Musk na…
Rais wa UEFA Ceferin asema hatagombea dhidi ya rais wa FIFA lakini anamtaka Infantino ajiuzulu
Rais wa FIFA Fianni Infantino (mbele) Rais wa UEFA Aleksander Ceferin amesema hatagombea dhidi ya Rais wa FIFA Gianni Infantino lakini alimwonya kiongozi huyo wa soka duniani kwamba lazima ajiuzulu vinginevyo akubali kwenda kwenye uchaguzi mwezi Machi. Infantino amekuwa chini ya shinikizo kubwa la kujiuzulu kutokana na mpango wake, ambao sasa ameutupilia mbali, wa kuuza…
Rais wa Tanzania azindua kituo cha kuzalisha umeme cha Julius Nyerere
(President Samia Suluhu inaugurates the 2,115-megawatt Julius Nyerere Hydropower Plant, a landmark project in Rufiji District in Coast Region, Tanzania, August 22, 2026. /Tanzania Presidency) Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua Kituo cha kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere, kilichopo katika Wilaya ya Rufiji katika Mkoa wa Pwani. Mradi huo mkubwa wenye uwezo wa kuzalisha…
Maandalizi ya michezo ya pili ya roboti ya kimataifa yanaingia katika hatua ya mwisho
Tarehe 19 katika ukumbi wa taifa wa mchezo wa kuteleza kwa kasi mjini Beijing, michezo ya pili ya roboti ya kimataifa itafanyika kuanzia Agosti 22 hadi 26.
Kongamano la Uchumi wa Buluu la kimataifa kufanyika Dar es salaam Septemba
Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 7 hadi 9, 2026, likiwa na kaulimbiu “Kuwezesha Shughuli za Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu Afrika.” Mkuu wa Chuo cha Bahari cha Tanzania, Profesa Tumaini Ngurumo, amesema mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais…
Africa CDC yasema mlipuko wa Ebola nchini DRC huenda ni mkubwa zaidi ya takwimu rasmi
Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema, mlipuko wa Ebola unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo (DRC) unaweza kuwa ni mkubwa mara tatu zaidi ya takwimu rasmi, huku asilimia 30 mpaka 40 tu za kesi ndizo zinazotambuliwa hivi sasa. Africa CDC imesema, kwa kuchukua sampuli za Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti…
Wafanyakazi wa China wana piliki kukamilisha oda za friji ndogo kutoka Ulaya
Kwenye karakana ya uzalishaji ya kampuni ya Runtian Electronics mkoani Zhejiang, wafanyakazi wana pilika kukamilisha oda za friji ndogo kwa matumizi ya gari na nyumbani, zitakazosafirishwa kwenda Ulaya. Kutokana na joto kali barani Ulaya na mabadiliko ya tabia za watumiaji barani Ulaya na Amerika, mahitaji ya vifaa vidogo vya kupooza vinavyobebeka yameongezeka, na kuongeza kwa…
Mfululizo wa shughuli za “Export to China” zafanyika
Shughuli maalum kwa Misri chini ya mpango wa “Export to China” zimefanyika mjini Cairo. Hii ni mara ya kwanza mfululizo wa shughuli za “Export to China” kufanyika katika nchi ya Afrika. Wawakilishi zaidi ya 170 kutoka serikali za China na Misri, vyama vya biashara, na makampuni walihudhuria shughuli hiyo, na makampuni zaidi ya 10 ya…