Kundi la Hamas lasema lengo la Israel kusafisha kifusi huko Gaza ni kufuta “ushahidi wa uhalifu wa vita”

Kundi la Hamas lilitoa taarifa tarehe 7 Septemba likidai serikali ya Israel na jeshi lake wanajaribu kusafisha na kuhamisha kifusi huko Ukanda wa Gaza ili kuficha uhalifu waliowatendea watu wa Palestina. Taarifa hiyo imesema miili ya maelfu ya wahanga bado imezikwa chini ya kifusi, ambayo ni ushahidi wa moja kwa moja unaoweza kuthibitisha “uhalifu wa…

Read More

Mjumbe maalumu wa UM atahadharisha kuhusu hatari ya kuzorota kwa hali ya Yemen

Mjumbe maalumu wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Yemen Bw. Hans Grundberg tarehe 7 Septemba alitoa taarifa akisema kundi la Houthi hivi karibuni limefanya mashambulizi katika mistari kadhaa nchini Yemen, kusababisha kuongezeka kwa mapambano ya kisilaha, na kuongeza hatari ya kuzorotesha mgogoro wa nchini humo, hali inayoleta wasiwasi mkubwa. Taarifa imesema…

Read More

Nchi kuu zinazozalisha mafuta za “OPEC+” zaamua kudumisha kiwango cha uzalishaji Oktoba

Shirika la Nchi Zinazozalisha Mafuta (OPEC) lilitoa taarifa tarehe 6 Septemba likisema nchi saba wanachama za “OPEC+” zimeamua kudumisha kiwango cha uzalishaji wa mafuta ghafi mwezi Oktoba, sawa na kilekile cha Septemba, huku zikisisitiza tena kulinda utulivu wa soko. Wawakilishi kutoka Saudi Arabia, Russia, Iraq, Kuwait, Kazakhstan, Algeria na Oman walifanya mkutano kwa njia ya…

Read More

Tanzania, DRC zakubaliana kuharakisha ujenzi wa reli SGR na mkonga wa mawasiliano katika Ziwa Tanganyika

TANZANIA na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimepanga kuharakisha utekelezaji wa miradi ya pamoja ya kimkakati, ikiwa ni pamoja na mradi uliopangwa wa Reli ya Standard Gauge (SGR) kupitia Burundi na mkonga wa mawasiliano wa taifa katika Ziwa Tanganyika. Mipango hiyo imethibitishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa…

Read More

Umoja wa Afrika wakaribisha azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu ‘Ramani Sahihi’ ya Afrika

Umoja wa Afrika (AU) umekaribisha kupitishwa kwa azimio la ‘Ramani Sahihi’ ya Afrika na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Azimio hilo linalenga kushughulikia upotoshaji ulioundwa na makadirio ya Mercator, mfumo wa uchoraji ramani wa karne ya 16 uliotengenezwa hasa kwa ajili ya usafiri wa majini. Makadirio haya yanafanya maeneo yaliyo karibu na ncha kuonekana…

Read More

Kindiki Packs Kinoru With UDA Grassroots as Critics Allege Paid Crowds Worth Tens of Millions — While Nurses’ Strike Leaves Hospitals Crippled

By Maisha Television Editorial DeskMeru | Saturday, September 5, 2026 Deputy President Kithure Kindiki used a packed meeting at Kinoru Stadium on Friday to roll out United Democratic Alliance (UDA) polling-centre officials as the party’s 2027 ground force — even as videos circulating online accused organisers of paying people to fill the pitch, and public…

Read More

LEOFM

Maisha TV
Live
Tap to listen live