Maandalizi ya michezo ya pili ya roboti ya kimataifa yanaingia katika hatua ya mwisho
Tarehe 19 katika ukumbi wa taifa wa mchezo wa kuteleza kwa kasi mjini Beijing, michezo ya pili ya roboti ya kimataifa itafanyika kuanzia Agosti 22 hadi 26.
Kongamano la Uchumi wa Buluu la kimataifa kufanyika Dar es salaam Septemba
Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 7 hadi 9, 2026, likiwa na kaulimbiu “Kuwezesha Shughuli za Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu Afrika.” Mkuu wa Chuo cha Bahari cha Tanzania, Profesa Tumaini Ngurumo, amesema mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais…
Africa CDC yasema mlipuko wa Ebola nchini DRC huenda ni mkubwa zaidi ya takwimu rasmi
Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema, mlipuko wa Ebola unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo (DRC) unaweza kuwa ni mkubwa mara tatu zaidi ya takwimu rasmi, huku asilimia 30 mpaka 40 tu za kesi ndizo zinazotambuliwa hivi sasa. Africa CDC imesema, kwa kuchukua sampuli za Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti…
Wafanyakazi wa China wana piliki kukamilisha oda za friji ndogo kutoka Ulaya
Kwenye karakana ya uzalishaji ya kampuni ya Runtian Electronics mkoani Zhejiang, wafanyakazi wana pilika kukamilisha oda za friji ndogo kwa matumizi ya gari na nyumbani, zitakazosafirishwa kwenda Ulaya. Kutokana na joto kali barani Ulaya na mabadiliko ya tabia za watumiaji barani Ulaya na Amerika, mahitaji ya vifaa vidogo vya kupooza vinavyobebeka yameongezeka, na kuongeza kwa…
Mfululizo wa shughuli za “Export to China” zafanyika
Shughuli maalum kwa Misri chini ya mpango wa “Export to China” zimefanyika mjini Cairo. Hii ni mara ya kwanza mfululizo wa shughuli za “Export to China” kufanyika katika nchi ya Afrika. Wawakilishi zaidi ya 170 kutoka serikali za China na Misri, vyama vya biashara, na makampuni walihudhuria shughuli hiyo, na makampuni zaidi ya 10 ya…
Afrika ina uwezo wa kuchakata 30% ya madini muhimu duniani
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Katibu Mtendaji wa Kamati ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) Bw. Claver Gatete, amesema Afrika ina takriban 30% ya akiba ya madini muhimu ya mpito wa nishati duniani, ambayo mahitaji yake yanaweza kuongezeka mara tatu ifikapo mwaka wa 2030. Bw. Gatete amesema hayo kwenye…
HOMABAY VIOLENCE: Fresh Threats Against Sifuna, Babu, & Orengo
Nairobi/Homa Bay — In the bloodied aftermath of a deadly political ambush in Homa Bay, fresh threats of violence continue to emanate from Nyanza political circles aligned with the mainstream ODM and grassroots influencers, casting a long shadow over Kenya’s democratic space ahead of the 2027 elections. The Linda Mwananchi faction — a breakaway group…
WHO:janga la Ebola nchini DRC bado halijadhibitiwa
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitisha mkutano wa dharura tarehe 18 mwezi huu, ambapo mkurugenzi mkuu Bw. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema janga la Ebola linaenea kwa kasi, na bado kuna hatari kubwa ya kuzidi kuenea ndani na nje ya nchi. Janga hilo limekuwa mlipuko wa pili kwa ukubwa katika historia ya majanga ya ugonjwa huo,…
Tanzania, DRC zatangaza kuwa zitaimarisha uhusiano wa kibiashara na uchimbaji madini
Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta za madini, biashara, uwekezaji, miundombinu, amani na usalama huku nchi hizo mbili zikijitahidi kuimarisha ushirikiano wao wa kimkakati. Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza makubaliano hayo jana, baada ya kufanya mazungumzo na Rais Félix Tshisekedi wa DRC katika Ikulu ya Zanzibar.Rais Samia amesema…
Mafunzo ya Walimu wa Lugha ya Kichina Yafanyika Nairobi
Mafunzo ya siku mbili kuhusu Viwango vya Kimataifa vya Elimu ya Lugha ya Kichina yameanza leo katika Taasisi ya Confucius, Chuo Kikuu cha Nairobi, eneo la Arboretum. Mafunzo hayo, yanayofanyika leo na kesho, yanalenga kuwajengea walimu wa lugha ya Kichina ujuzi na mbinu bora zaidi za kufundisha lugha hiyo, kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya…