Nchi kuu zinazozalisha mafuta za “OPEC+” zaamua kudumisha kiwango cha uzalishaji Oktoba
Shirika la Nchi Zinazozalisha Mafuta (OPEC) lilitoa taarifa tarehe 6 Septemba likisema nchi saba wanachama za “OPEC+” zimeamua kudumisha kiwango cha uzalishaji wa mafuta ghafi mwezi Oktoba, sawa na kilekile cha Septemba, huku zikisisitiza tena kulinda utulivu wa soko. Wawakilishi kutoka Saudi Arabia, Russia, Iraq, Kuwait, Kazakhstan, Algeria na Oman walifanya mkutano kwa njia ya…
Tanzania, DRC zakubaliana kuharakisha ujenzi wa reli SGR na mkonga wa mawasiliano katika Ziwa Tanganyika
TANZANIA na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimepanga kuharakisha utekelezaji wa miradi ya pamoja ya kimkakati, ikiwa ni pamoja na mradi uliopangwa wa Reli ya Standard Gauge (SGR) kupitia Burundi na mkonga wa mawasiliano wa taifa katika Ziwa Tanganyika. Mipango hiyo imethibitishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa…
Umoja wa Afrika wakaribisha azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu ‘Ramani Sahihi’ ya Afrika
Umoja wa Afrika (AU) umekaribisha kupitishwa kwa azimio la ‘Ramani Sahihi’ ya Afrika na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Azimio hilo linalenga kushughulikia upotoshaji ulioundwa na makadirio ya Mercator, mfumo wa uchoraji ramani wa karne ya 16 uliotengenezwa hasa kwa ajili ya usafiri wa majini. Makadirio haya yanafanya maeneo yaliyo karibu na ncha kuonekana…
Kindiki Packs Kinoru With UDA Grassroots as Critics Allege Paid Crowds Worth Tens of Millions — While Nurses’ Strike Leaves Hospitals Crippled
By Maisha Television Editorial DeskMeru | Saturday, September 5, 2026 Deputy President Kithure Kindiki used a packed meeting at Kinoru Stadium on Friday to roll out United Democratic Alliance (UDA) polling-centre officials as the party’s 2027 ground force — even as videos circulating online accused organisers of paying people to fill the pitch, and public…
UM wasema kutakuwa na El Niño kubwa zaidi hadi Februari 2027
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, ameonya dunia imeingia katika eneo hatari la hali mbaya ya hewa, huku athari za El Niño zikianza kuhisiwa duniani kote. Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), limetoa takwimu za hivi karibuni kuhusu hali mbaya zaidi ya hewa kwa zaidi ya miaka 70 ambayo huenda ikaendelea…
Kenya yataka kushirikiana na China ili kuboresha viwanda vyake
Kenya inapanga kuimarisha ushirikiano na China ili kuboresha uwezo wake wa uzalishaji viwandani, kuongeza mauzo ya nje ya bidhaa zenye thamani, na kuleta nafasi za ajira kwa vijana. Maofisa kadhaa wa Kenya walisema hayo jana Alhamisi kwenye Maonyesho ya 9 ya Kimataifa ya Viwanda ya Kenya mjini Nairobi. Mkurugenzi wa taifa wa Chama cha Biashara…
Rais wa Sudan Kusini aridhia marekebisho ya katiba
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ameridhia marekebisho ya katiba yanayoondoa hitaji la katiba ya kudumu na mwafaka wa kitaifa kukamilika kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu. Bunge la Mpito la Kitaifa la Sudan Kusini lilipitisha marekebisho hayo Septema Mosi, na rais Kiir kuridhia siku inayofuata Septemba 2. Marekebisho hayo yanatenganisha uchaguzi wa Desemba 22…
Kambi ya Wahamiaji ya Ufukwe wa El Trampolin huko Ceuta,Hispania yaibuka tena
Ingawa hapo awali wahamiaji huko Ceuta,Hispania walihamishwa na kupelekwa maeneo maalum, ufukwe wa El Trampolin umejaa tena vibanda vingi vya muda. Inakadiriwa kuwa, baada ya wimbi la wahamiaji kuingia mwishoni mwa Julai, bado kuna wahamiaji kati ya 5,000 na 10,000 (wakiwemo watoto wasioandamana na wazazi) waliobakia Ceuta, na wengi wao wamejenga makazi ya muda kwenye…
Mkutano wa mifumo ya Chakula Afrika wafunguliwa Rwanda
Mkutano wa Mifumo ya Chakula Afrika umefunguliwa katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali, na kuleta pamoja watunga sera, wakulima, wawekezaji, watafiti na wenzi wa maendeleo kwa lengo la kujadili njia za kufanyia mageuzi sekta ya chakula na kilimo katika bara la Afrika. Mkutano huo unajikita katika changamoto kubwa ikiwemo ufadhili, teknolojia, hasara baada ya mvuno,…
Watu 21 wafariki, 541 hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya matope kuikumba forodha ya mpakani mkoani Xizang, China
Watu 21 wamethibitishwa kufariki na wengine 541 bado hawajulikani walipo hadi kufikia Jumatano mchana baada ya maporomoko ya matope kuikumba forodha ya Gyirong kwenye mpaka wa China na Nepal kusini magharibi mwa Mkoa wa Xizang Agosti 26. Habari zinasema waokoaji wamerejesha vipande 847 vya mali binafsi, mamlaka za mitaa zimepokea simu 876 kutoka kwa jamaa…