Umoja wa Mataifa wazindua mpango wa elimu wa dola milioni 22 kwa watoto wa Sudan

Mgogoro wa muda mrefu wa Sudan umewazuia mamilioni ya watoto kwenda shule, na kuwaacha wengi bila mahali salama pa kujifunza. Kwa mujibu wa “Education Cannot Wait”, mfuko wa elimu duniani wa Umoja wa Mataifa, takriban watoto milioni nane—karibu nusu ya watoto milioni 17 wa Sudan wenye umri wa kwenda shule—hawaendi shuleni. Idadi kubwa ya shule…

Read More

Africa CDC yaonya kuhusu kuenea kwa kasi kwa mlipuko wa Ebola kijiografia nchini DRC

Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimeelezea wasiwasi kuhusu kuenea kwa kasi kwa mlipuko wa Ebola kijiografia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambapo idadi ya watu waliothibitishwa kuwa na ugonjwa huo imezidi 5,500.Meneja wa shughuli za kukabiliana na Ebola katika Africa CDC Wessam Mankoula akihutubia mkutano wa Ngazi ya…

Read More

Rais wa UEFA Ceferin asema hatagombea dhidi ya rais wa FIFA lakini anamtaka Infantino ajiuzulu

Rais wa FIFA Fianni Infantino (mbele) Rais wa UEFA Aleksander Ceferin amesema hatagombea dhidi ya Rais wa FIFA Gianni Infantino lakini alimwonya kiongozi huyo wa soka duniani kwamba lazima ajiuzulu vinginevyo akubali kwenda kwenye uchaguzi mwezi Machi. Infantino amekuwa chini ya shinikizo kubwa la kujiuzulu kutokana na mpango wake, ambao sasa ameutupilia mbali, wa kuuza…

Read More

Rais wa Tanzania azindua kituo cha kuzalisha umeme cha Julius Nyerere

(President Samia Suluhu inaugurates the 2,115-megawatt Julius Nyerere Hydropower Plant, a landmark project in Rufiji District in Coast Region, Tanzania, August 22, 2026. /Tanzania Presidency) Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua Kituo cha kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere, kilichopo katika Wilaya ya Rufiji katika Mkoa wa Pwani. Mradi huo mkubwa wenye uwezo wa kuzalisha…

Read More

Kongamano la Uchumi wa Buluu la kimataifa kufanyika Dar es salaam Septemba

Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 7 hadi 9, 2026, likiwa na kaulimbiu “Kuwezesha Shughuli za Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu Afrika.” Mkuu wa Chuo cha Bahari cha Tanzania, Profesa Tumaini Ngurumo, amesema mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais…

Read More

Wafanyakazi wa China wana piliki kukamilisha oda za friji ndogo kutoka Ulaya

Kwenye karakana ya uzalishaji ya kampuni ya Runtian Electronics mkoani Zhejiang, wafanyakazi wana pilika kukamilisha oda za friji ndogo kwa matumizi ya gari na nyumbani, zitakazosafirishwa kwenda Ulaya. Kutokana na joto kali barani Ulaya na mabadiliko ya tabia za watumiaji barani Ulaya na Amerika, mahitaji ya vifaa vidogo vya kupooza vinavyobebeka yameongezeka, na kuongeza kwa…

Read More