Ethiopia yarejesha nyumbani karibu raia 100,000 kutoka nje ya nchi mwaka jana

Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa imewarejesha nyumbani karibu raia 100,000 waliokabiliwa na hali mbaya nje ya nchi katika miezi 12 iliyopita chini ya mpango unaoendelea unaoongozwa na serikali. Wizara ya Wanawake na Masuala ya Jamii ya Ethiopia imesema katika taarifa yake kuwa zaidi ya Waethiopia 98,900 walirudishwa nyumbani salama wakati wa duru ya hivi karibuni…

Read More

DRC yarekodi kesi zaidi ya 6,000 zilizothibitishwa za Ebola

Takwimu zilizotolewa jana zimeonesha kuwa, kesi zilizothibitishwa kuwa na maambukizi ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimezidi 6,000, huku karibu vifo 3,000 vikihusishwa na ugonjwa huo. Mamlaka za huko zimeripoti kuwa, mpaka kufikia jumamosi iliyopita, DRC ilirekodi kesi 6,041 zilizothibitishwa kuwa na maambukizi ya Ebola katika mikoa sita, ikiwemo vifo 2,911, na…

Read More

Maandalizi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Huduma ya China ya 2026 yakamilika

Maandalizi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Huduma za China CIFTIS ya 2026 yatafanyika kuanzia tarehe 9 hadi 13 mwezi Septemba katika Hifadhi ya Shougang mjini Beijing yamekamilika. Kwa mara ya kwanza, maonyesho ya mwaka huu yataangazia eneo la maonyesho la “Huduma za China” katika eneo kuu la maonyesho, ikionyesha mafanikio bunifu na mifano…

Read More

Kampuni za Sharpa na DQ zashirikiana kuanzisha mkahawa wa ice cream unaoendeshwa na roboti

Mkahawa wa kwanza wa ice cream unaoendeshwa na roboti ulioanzishwa kwa ushirikiano wa kampuni maarufu ya ice cream Dairy Queen na kampuni ya roboti za AI ya Sharpa, umefunguliwa rasmi Agosti 29, 2026, katika Mtaa wa Wujiang, mjini Shanghai,China. Habari zinasema, mkahawa huo ni wa kwanza unaojiendesha kikamilifu, na unaofanya kazi mwaka mzima bila mapumziko….

Read More

Juhudi za uokoaji baada ya ajali ya maporomoko ya matope Xizang zaimarishwa huku idadi ya vifo ikiongezeka hadi 16

Waokoaji wanaendelea na juhudi za kuwatafuta manusura baada ya maporomoko makubwa ya matope, yaliyosababishwa na maporomoko ya barafu huko Nepal, kugonga forodha ya mpakani ya Gyirong Mkoani Xizang. Serikali ya mkoa huo imesema janga hilo lililotokea Agosti 26, limesababisha vifo vya watu 16, na wengine 546 bado hawajulikani walipo. Licha ya changamoto ya miinuko mirefu,…

Read More

Wakazi wote na watalii walioathirika kwenye maporomoko ya matope Xizang wahamishwa

Mamlaka za Mkoa Unaojiendesha wa Xizang nchini China, zilisema Alhamisi kwamba wakazi walioathirika na maporomoko ya matope katika Kaunti ya Gyirong, wamepewa makazi mapya, na watalii wote waliokwama wamehamishwa. Jumla ya wanakijiji na wafanyakazi wa ujenzi 499, wote wamepatiwa mahali pa kujisitiri ipasavyo. Wakati huo huo, watalii 555 walioathirika walihamishwa chini ya uratibu wa mamlaka…

Read More

Wanasayansi: Joto kali lasababisha maporomoko makubwa ya mawe katika milima Alps

Kwa mujibu wa wanasayansi, joto kali sana katika milima Alps limesababisha idadi kubwa ya maporomoko ya mawe, baadhi yakipeleka vifo, huku “kwa kiasi kikubwa likisababishwa na msukosuko wa tabianchi”. Mkurugenzi wa utafiti katika kituo cha taifa cha utafiti wa kisayansi cha Ufaransa (CNRS), Ludovic Ravanel alisema mwaka huu utakuwa mwaka wa rekodi kwa upande wa…

Read More

LEOFM

Maisha TV
Live
Tap to listen live