Kongamano la Uchumi wa Buluu la kimataifa kufanyika Dar es salaam Septemba

Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 7 hadi 9, 2026, likiwa na kaulimbiu “Kuwezesha Shughuli za Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu Afrika.” Mkuu wa Chuo cha Bahari cha Tanzania, Profesa Tumaini Ngurumo, amesema mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais…

Read More

Africa CDC yasema mlipuko wa Ebola nchini DRC huenda ni mkubwa zaidi ya takwimu rasmi

Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema, mlipuko wa Ebola unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo (DRC) unaweza kuwa ni mkubwa mara tatu zaidi ya takwimu rasmi, huku asilimia 30 mpaka 40 tu za kesi ndizo zinazotambuliwa hivi sasa. Africa CDC imesema, kwa kuchukua sampuli za Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti…

Read More

Wafanyakazi wa China wana piliki kukamilisha oda za friji ndogo kutoka Ulaya

Kwenye karakana ya uzalishaji ya kampuni ya Runtian Electronics mkoani Zhejiang, wafanyakazi wana pilika kukamilisha oda za friji ndogo kwa matumizi ya gari na nyumbani, zitakazosafirishwa kwenda Ulaya. Kutokana na joto kali barani Ulaya na mabadiliko ya tabia za watumiaji barani Ulaya na Amerika, mahitaji ya vifaa vidogo vya kupooza vinavyobebeka yameongezeka, na kuongeza kwa…

Read More

HOMABAY VIOLENCE: Fresh Threats Against Sifuna, Babu, & Orengo

Nairobi/Homa Bay — In the bloodied aftermath of a deadly political ambush in Homa Bay, fresh threats of violence continue to emanate from Nyanza political circles aligned with the mainstream ODM and grassroots influencers, casting a long shadow over Kenya’s democratic space ahead of the 2027 elections. The Linda Mwananchi faction — a breakaway group…

Read More

Tanzania, DRC zatangaza kuwa zitaimarisha uhusiano wa kibiashara na uchimbaji madini

Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta za madini, biashara, uwekezaji, miundombinu, amani na usalama huku nchi hizo mbili zikijitahidi kuimarisha ushirikiano wao wa kimkakati. Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza makubaliano hayo jana, baada ya kufanya mazungumzo na Rais Félix Tshisekedi wa DRC katika Ikulu ya Zanzibar.Rais Samia amesema…

Read More