OpenAI yaibua wasiwasi kuhusu tabia mpya ya Akili Bandia na kuahidi kuifuatilia kwa karibu zaidi

OpenAI imetoa ripoti sita kuhusu tabia “zisizotarajiwa au za kutia wasiwasi” katika mifumo ya akili bandia (AI), huku mjadala kuhusu usalama wa teknolojia hiyo ukizidi kushika kasi. Kampuni hiyo ya Akili bandia pia Jumatano ilitangaza kuwa inaleta mfumo mpya wa kufuatilia, kuchunguza na kuweka wazi matukio ya kile ilichokiita “kutokwenda sambamba na malengo yaliyokusudiwa” yakiwemo…

Read More

Baraza Kuu la UM lamruhusu Abbas kushiriki katika mjadala wa jumla kupitia video

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kumruhusu Rais wa Palestina Mahmoud Abbas kushiriki katika mjadala wa jumla wa mwaka huu kupitia video, kufuatia hatua ya Marekani ya kumnyima viza. Azimio hilo lililopitishwa kwa kura 152 za ​​ndiyo, 3 za hapana na 4 zisizopigwa, limeamua kuwa Palestina inaweza kuwasilisha taarifa ya Abbas iliyorekodiwa…

Read More

China yazihimiza Iran na Marekani kurejea kwenye Makubaliano ya Maelewano ya Islamabad

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi Jumatano alifanya mazungumzo na mwenzake wa Iran Seyyed Abbas Araghchi mjini Beijing. Wang amesema kuendelea kwa mapambano kati ya Marekani na Iran hakuendani na maslahi ya pamoja ya pande husika na jumuiya ya kimataifa. China inazihimiza Iran na Marekani zijizuie, kurejea kwenye Makubaliano ya Maelewano ya…

Read More

Marekani yaweka vikwazo vya viza kutokana na sera za Afrika Kusini kuhusu makabila na ardhi

Marekani imetangaza vikwazo vipya vya viza vinavyolenga raia fulani wa kigeni wanaohusishwa na sera za Afrika Kusini ambazo Marekani inasema zinabagua makabila madogo na zinaweza kuruhusu kunyang’anywa kwa ardhi bila fidia. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alitangaza hatua hizo Jumanne, akisema kuwa serikali ya Afrika Kusini imeshindwa kushughulikia masuala yaliyowahi kuibuliwa…

Read More

Mkutano wa Kilele wa Haidrojeni ya Kijani wa Afrika wafunguliwa huko Cape Town

Mkutano wa Kilele wa Haidrojeni ya Kijani Afrika wa 2026 umefunguliwa mjiniCape Town, ambapo Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa wito wa kuharakisha utekelezaji na kuimarisha ushirikiano wa kiutendaji, ili kuubadilisha uwezekano wa haidrojeni ya kijani barani Afrika uwe ukuaji wa viwanda, usalama wa nishati, na maendeleo endelevu. Mkutano huo wa siku mbili umeshirikisha…

Read More

Tanzania yanufaika na Kongamano la BRI jijini Hong Kong baada ya kukutana na wawekezaji wa kimataifa

Tanzania imetumia Kongamano la Ukanda Mmoja Njia Moja lililofanyika Hong Kong kuanzia tarehe 9 hadi 10 Septemba 2026 kutangaza fursa za kimkakati za uwekezaji na kuimarisha mawasiliano na wawekezaji wa kimataifa pamoja na washirika watarajiwa wa kibiashara. Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), ikishirikiana na kampuni ya Opulence Business Solutions, iliratibu…

Read More

LEOFM

Maisha TV
Live
Tap to listen live