Raia wa kigeni nchini Kenya wana siku 90 kuwa na vibali vya kazi
Kenya imewapa raia wa kigeni wanaoendesha biashara ndogo ndogo siku 90 za kuratibu hadhi yao ya uhamiaji, vibali vya kazi na leseni za biashara. Msemaji wa Ikulu ya Kenya Bw. Hussein Mohammed, amesema kazi hiyo itaratibiwa na balozi za raia wageni, na kuwapa fursa iliyo wazi na iliyopangwa ya kuratibu ukaazi wao na shughuli za…
Kundi la Hamas lasema lengo la Israel kusafisha kifusi huko Gaza ni kufuta “ushahidi wa uhalifu wa vita”
Kundi la Hamas lilitoa taarifa tarehe 7 Septemba likidai serikali ya Israel na jeshi lake wanajaribu kusafisha na kuhamisha kifusi huko Ukanda wa Gaza ili kuficha uhalifu waliowatendea watu wa Palestina. Taarifa hiyo imesema miili ya maelfu ya wahanga bado imezikwa chini ya kifusi, ambayo ni ushahidi wa moja kwa moja unaoweza kuthibitisha “uhalifu wa…
Mjumbe maalumu wa UM atahadharisha kuhusu hatari ya kuzorota kwa hali ya Yemen
Mjumbe maalumu wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Yemen Bw. Hans Grundberg tarehe 7 Septemba alitoa taarifa akisema kundi la Houthi hivi karibuni limefanya mashambulizi katika mistari kadhaa nchini Yemen, kusababisha kuongezeka kwa mapambano ya kisilaha, na kuongeza hatari ya kuzorotesha mgogoro wa nchini humo, hali inayoleta wasiwasi mkubwa. Taarifa imesema…
Serikali ya Tanzania yapanga kutumia teknolojia kukuza uchumi wa bluu
Serikali ya Tanzania inaendelea kuimarisha matumizi ya teknolojia za kidijitali, mifumo ya kisasa ya usimamizi wa bandari na biashara, pamoja na matumizi ya taarifa za kisayansi katika kufanya maamuzi kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya uchumi wa bluu nchini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Bw.Hamadi Masauni, amesema hayo wakati…
Afisa wa UM atembelea DRC kutathmini mwitikio wa janga la Ebola
Ofisi ya Uratibu wa Mambo ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema janga la Ebola linaloendelea kuenea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) limesababisha vifo zaidi ya 3,200. Mratibu wa OCHA Bw. Damien Mama ameanza ziara ya yake ya siku nne katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC kuanzia tarehe 8 ili…
Nchi kuu zinazozalisha mafuta za “OPEC+” zaamua kudumisha kiwango cha uzalishaji Oktoba
Shirika la Nchi Zinazozalisha Mafuta (OPEC) lilitoa taarifa tarehe 6 Septemba likisema nchi saba wanachama za “OPEC+” zimeamua kudumisha kiwango cha uzalishaji wa mafuta ghafi mwezi Oktoba, sawa na kilekile cha Septemba, huku zikisisitiza tena kulinda utulivu wa soko. Wawakilishi kutoka Saudi Arabia, Russia, Iraq, Kuwait, Kazakhstan, Algeria na Oman walifanya mkutano kwa njia ya…
Tanzania, DRC zakubaliana kuharakisha ujenzi wa reli SGR na mkonga wa mawasiliano katika Ziwa Tanganyika
TANZANIA na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimepanga kuharakisha utekelezaji wa miradi ya pamoja ya kimkakati, ikiwa ni pamoja na mradi uliopangwa wa Reli ya Standard Gauge (SGR) kupitia Burundi na mkonga wa mawasiliano wa taifa katika Ziwa Tanganyika. Mipango hiyo imethibitishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa…
Umoja wa Afrika wakaribisha azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu ‘Ramani Sahihi’ ya Afrika
Umoja wa Afrika (AU) umekaribisha kupitishwa kwa azimio la ‘Ramani Sahihi’ ya Afrika na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Azimio hilo linalenga kushughulikia upotoshaji ulioundwa na makadirio ya Mercator, mfumo wa uchoraji ramani wa karne ya 16 uliotengenezwa hasa kwa ajili ya usafiri wa majini. Makadirio haya yanafanya maeneo yaliyo karibu na ncha kuonekana…
Kindiki Packs Kinoru With UDA Grassroots as Critics Allege Paid Crowds Worth Tens of Millions — While Nurses’ Strike Leaves Hospitals Crippled
By Maisha Television Editorial DeskMeru | Saturday, September 5, 2026 Deputy President Kithure Kindiki used a packed meeting at Kinoru Stadium on Friday to roll out United Democratic Alliance (UDA) polling-centre officials as the party’s 2027 ground force — even as videos circulating online accused organisers of paying people to fill the pitch, and public…
UM wasema kutakuwa na El Niño kubwa zaidi hadi Februari 2027
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, ameonya dunia imeingia katika eneo hatari la hali mbaya ya hewa, huku athari za El Niño zikianza kuhisiwa duniani kote. Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), limetoa takwimu za hivi karibuni kuhusu hali mbaya zaidi ya hewa kwa zaidi ya miaka 70 ambayo huenda ikaendelea…