China yazihimiza Iran na Marekani kurejea kwenye Makubaliano ya Maelewano ya Islamabad

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi Jumatano alifanya mazungumzo na mwenzake wa Iran Seyyed Abbas Araghchi mjini Beijing. Wang amesema kuendelea kwa mapambano kati ya Marekani na Iran hakuendani na maslahi ya pamoja ya pande husika na jumuiya ya kimataifa. China inazihimiza Iran na Marekani zijizuie, kurejea kwenye Makubaliano ya Maelewano ya…

Read More

Marekani yaweka vikwazo vya viza kutokana na sera za Afrika Kusini kuhusu makabila na ardhi

Marekani imetangaza vikwazo vipya vya viza vinavyolenga raia fulani wa kigeni wanaohusishwa na sera za Afrika Kusini ambazo Marekani inasema zinabagua makabila madogo na zinaweza kuruhusu kunyang’anywa kwa ardhi bila fidia. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alitangaza hatua hizo Jumanne, akisema kuwa serikali ya Afrika Kusini imeshindwa kushughulikia masuala yaliyowahi kuibuliwa…

Read More

Mkutano wa Kilele wa Haidrojeni ya Kijani wa Afrika wafunguliwa huko Cape Town

Mkutano wa Kilele wa Haidrojeni ya Kijani Afrika wa 2026 umefunguliwa mjiniCape Town, ambapo Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa wito wa kuharakisha utekelezaji na kuimarisha ushirikiano wa kiutendaji, ili kuubadilisha uwezekano wa haidrojeni ya kijani barani Afrika uwe ukuaji wa viwanda, usalama wa nishati, na maendeleo endelevu. Mkutano huo wa siku mbili umeshirikisha…

Read More

Tanzania yanufaika na Kongamano la BRI jijini Hong Kong baada ya kukutana na wawekezaji wa kimataifa

Tanzania imetumia Kongamano la Ukanda Mmoja Njia Moja lililofanyika Hong Kong kuanzia tarehe 9 hadi 10 Septemba 2026 kutangaza fursa za kimkakati za uwekezaji na kuimarisha mawasiliano na wawekezaji wa kimataifa pamoja na washirika watarajiwa wa kibiashara. Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), ikishirikiana na kampuni ya Opulence Business Solutions, iliratibu…

Read More

Kiwango cha maji cha Himalaya kufika kileleni, mamilioni ya maisha ya watu yako hatarini

Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti yaliyotolewa mwezi huu, kiwango cha barafu ya Himalaya kinakaribia kushuka ambapo inayeyuka haraka kuliko muongo mmoja uliopita, na kutishia usalama wa maji huku eneo hilo likikaribia “kilele chake cha maji” hadi katikati ya karne. Matokeo haya yanakuja baada ya kuanguka kwa barafu ya Himalaya mwishoni mwa Agosti kwenye mpaka…

Read More

Rais Ramaphosa ataka BRICS kutetea ushirikiano na kusukuma mbele mageuzi ya usimamizi wa kimataifa

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa nchi za BRICS kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi na kusukuma mbele mageuzi ya usimamizi wa kimataifa, akisisitiza sauti za Afrika na Dunia ya Kusini lazima ziakisi kikamilifu katika kuunda utaratibu wa kimataifa wa siku zijazo. Rais Ramaphosa ametoa wito huo katika kikao wa pembezoni mwa Mkutano…

Read More

LEOFM

Maisha TV
Live
Tap to listen live