Umoja wa Mataifa waunga mkono juhudi za kupambana na kipindupindu nchini Sudan

Ofisi ya Umoja wa Mataifa Inayoratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema, Umoja wa Mataifa na washirika wake wa kibinadamu wanaendelea kuunga mkono juhudi za kupambana na kipindupindu nchini Sudan na kutoa msaada muhimu kwa wahitaji licha ya changamoto za usalama. OCHA imesema kutokana na msaada wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mamlaka za afya zimezindua…

Read More

Katibu mkuu wa UM ahimiza kurejesha mazungumzo kati ya Russia na Ukraine

Msemaji wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Stéphane Dujarric amesema, katibu mkuu Bw. António Guterres anataka juhudi za kidiplomasia za hivi karibuni ziwezeshe kurejeshwa kwa mazungumzo kati ya Russia na Ukraine. Kwenye mkutano wa kawaida na wanahabari, Bw. Guterres amefurahia juhudi za kidiplomasia ikiwemo ziara ya mjumbe maalumu wa Marekani huko Moscow na…

Read More

Kundi la Hamas lasema lengo la Israel kusafisha kifusi huko Gaza ni kufuta “ushahidi wa uhalifu wa vita”

Kundi la Hamas lilitoa taarifa tarehe 7 Septemba likidai serikali ya Israel na jeshi lake wanajaribu kusafisha na kuhamisha kifusi huko Ukanda wa Gaza ili kuficha uhalifu waliowatendea watu wa Palestina. Taarifa hiyo imesema miili ya maelfu ya wahanga bado imezikwa chini ya kifusi, ambayo ni ushahidi wa moja kwa moja unaoweza kuthibitisha “uhalifu wa…

Read More

Mjumbe maalumu wa UM atahadharisha kuhusu hatari ya kuzorota kwa hali ya Yemen

Mjumbe maalumu wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Yemen Bw. Hans Grundberg tarehe 7 Septemba alitoa taarifa akisema kundi la Houthi hivi karibuni limefanya mashambulizi katika mistari kadhaa nchini Yemen, kusababisha kuongezeka kwa mapambano ya kisilaha, na kuongeza hatari ya kuzorotesha mgogoro wa nchini humo, hali inayoleta wasiwasi mkubwa. Taarifa imesema…

Read More

Nchi kuu zinazozalisha mafuta za “OPEC+” zaamua kudumisha kiwango cha uzalishaji Oktoba

Shirika la Nchi Zinazozalisha Mafuta (OPEC) lilitoa taarifa tarehe 6 Septemba likisema nchi saba wanachama za “OPEC+” zimeamua kudumisha kiwango cha uzalishaji wa mafuta ghafi mwezi Oktoba, sawa na kilekile cha Septemba, huku zikisisitiza tena kulinda utulivu wa soko. Wawakilishi kutoka Saudi Arabia, Russia, Iraq, Kuwait, Kazakhstan, Algeria na Oman walifanya mkutano kwa njia ya…

Read More

LEOFM

Maisha TV
Live
Tap to listen live