Rais Ramaphosa ataka BRICS kutetea ushirikiano na kusukuma mbele mageuzi ya usimamizi wa kimataifa

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa nchi za BRICS kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi na kusukuma mbele mageuzi ya usimamizi wa kimataifa, akisisitiza sauti za Afrika na Dunia ya Kusini lazima ziakisi kikamilifu katika kuunda utaratibu wa kimataifa wa siku zijazo. Rais Ramaphosa ametoa wito huo katika kikao wa pembezoni mwa Mkutano…

Read More

Gharama za bidhaa zapanda nchini Somalia kutokana na usumbufu wa usafirishaji katika Bahari ya Sham

Bei ya bidhaa imepanda nchini Somalia na kuongeza wasiwasi wa usalama baharini kutokana na mashambulizi ya Wahouthi kuvuruga usafirishaji kupitia Mlangobahari wa Bab al-Mandab. Gharama ya gesi ya kupikia kwa chupa ya kilo 10 imepanda kutoka takriban $25 hadi $40, ambapo bei ya mafuta imeongezeka mara mbili hadi $1.50 kwa lita. Bei za chakula pia…

Read More

Mwenge wa Olimpiki wawasili Senegal kwa ajili ya Michezo ya Vijana, tukio la kwanza la Olimpiki Afrika

Mwenge wa Olimpiki ulipokelewa kwa muziki na ngoma katika mji mkuu wa Senegal siku ya Jumamosi, huku matembezi ya wanawake 100 yakiashiria kuanza kuhesabu muda kuelekea siku ya tukio la kwanza la michezo ya Olimpiki kufanyika barani Afrika, yaani Michezo ya Olimpiki ya Vijana. Zaidi ya watu mia moja walikusanyika katika eneo la Place du…

Read More

Umoja wa Mataifa waunga mkono juhudi za kupambana na kipindupindu nchini Sudan

Ofisi ya Umoja wa Mataifa Inayoratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema, Umoja wa Mataifa na washirika wake wa kibinadamu wanaendelea kuunga mkono juhudi za kupambana na kipindupindu nchini Sudan na kutoa msaada muhimu kwa wahitaji licha ya changamoto za usalama. OCHA imesema kutokana na msaada wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mamlaka za afya zimezindua…

Read More

Katibu mkuu wa UM ahimiza kurejesha mazungumzo kati ya Russia na Ukraine

Msemaji wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Stéphane Dujarric amesema, katibu mkuu Bw. António Guterres anataka juhudi za kidiplomasia za hivi karibuni ziwezeshe kurejeshwa kwa mazungumzo kati ya Russia na Ukraine. Kwenye mkutano wa kawaida na wanahabari, Bw. Guterres amefurahia juhudi za kidiplomasia ikiwemo ziara ya mjumbe maalumu wa Marekani huko Moscow na…

Read More

LEOFM

Maisha TV
Live
Tap to listen live