Kongamano la Uchumi wa Buluu la kimataifa kufanyika Dar es salaam Septemba
Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 7 hadi 9, 2026, likiwa na kaulimbiu “Kuwezesha Shughuli za Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu Afrika.” Mkuu wa Chuo cha Bahari cha Tanzania, Profesa Tumaini Ngurumo, amesema mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais…