Naibu waziri Mkuu wa China atoa wito wa uwazi na ushirikiano zaidi katika sekta ya huduma
Naibu Waziri Mkuu wa China, Bw. Ding Xuexiang, amesema kuendeleza biashara ya huduma na kuhimiza uwazi na ushirikiano katika sekta ya huduma si chaguo la China tu bali pia ni hitaji la dunia. Bw. Ding amesema kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Biashara ya Huduma wa mwaka 2026 uliofanyika mjini Beijing, kuwa China imehimiza kikamilifu biashara…