Mgomo wa wafanyakazi wavuruga safari za anga nchini Kenya
Mgomo wa wafanyakazi wa anga ulioanza jumapili iliyopita nchini Kenya umesababisha shughuli za usafiri kuvurugika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) nchini humo kwa siku ya pili jana Jumatatu, huku maelfu ya wasafiri wakilalamikia kuahirishwa kwa safari zao au nyingine kukwama wasijue tarehe halisi ya safari zao. Jumapili iliyopita, Mamlaka ya…