Rais wa UEFA Ceferin asema hatagombea dhidi ya rais wa FIFA lakini anamtaka Infantino ajiuzulu
Rais wa FIFA Fianni Infantino (mbele) Rais wa UEFA Aleksander Ceferin amesema hatagombea dhidi ya Rais wa FIFA Gianni Infantino lakini alimwonya kiongozi huyo wa soka duniani kwamba lazima ajiuzulu vinginevyo akubali kwenda kwenye uchaguzi mwezi Machi. Infantino amekuwa chini ya shinikizo kubwa la kujiuzulu kutokana na mpango wake, ambao sasa ameutupilia mbali, wa kuuza…