NEWS

Uasin Gishu yasalia Bila kujadili Kura ya BBI bungeni

Share

Victoria Magar

Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti la Uasin Gishu Josphat Lowoi amesema kuwa bunge hilo halina haraka ya kupitisha mswada wa BBI, huku bunge thelathini na nane zikipitisha mswada huo nchini kupisha kura ya maamuzi.

Hapo Jana, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga alipongeza kaunti zilizo pitisha mswada wa BBI.

Hata hivyo Uasin Gishu yasalia kuwa eneo sugu la kumuunga mkono Naibu wa Rais William Ruto anaye ipinga kamili ya BBI

Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti la Uasin Gishu Josphat Lowoi alisema kuwa bado wanapanga kuupeleka mswada huo wa BBI kwa wananchi ili kuwapa mafunzo kuhusu mswada huo waweze kuelewa na kuweza kufanya maamuzi mwafaka Wakati ufao.

“Tutatoa nakala kadhaa za BBI ilikuwapa wananchi waweze kuichambua pamoja na hata nakala zingine zitawekwa kwenye mtandao iliwale watakosa nakala wataweza kuichambua kupitia kwenye mtandao.”

Aliongeza kwa kusema kuwa wamechagua vituo thelathini vya kujadili za umma kwani kila wadi itashughulikia wakaazi wake.

Maisha Television Editorial Desk

Maisha TV Kenya is the KUZA AWARDS 2022 fastest growing TV Station. .................. 📺 Tune in to Channel 108 on StarTimes, 808 on GOTV, or any free-to-air decoder and join our community of over 8 million viewers! 🌍 1️⃣ Award-Winning Content: (KUZA AWARDS FASTEST GROWING TV 2022) Get ready to experience top-notch, critically acclaimed programs that will leave you inspired and informed. 2️⃣ News at Your Fingertips: Stay up-to-date with the latest breaking news, current affairs, and in-depth reporting. 3️⃣ A Wealth of Knowledge: Expand your horizons with fascinating educational shows, documentaries, and enlightening discussions. Broadcasting in Kisumu, Kitale, Bungoma, Vihiga, Siaya, Migori, Webuye, Kakamega, Homabay, Mumias, Malaba, Moi's Bridge, Makutano, Kapenguria, Busia, Lwakhakha, Mt. Elgon, Turbo, Malava, Yala, Kisii, and its environs Website: maishatv.co.ke || Twitter: maishatvke || Facebook: Maisha Television Kenya || Instagram: maishatvke

Recent Posts

UNITED AFRICA IN A MULTIPOLAR WORLD

By Margarita Simonyan Editor-in-Chief of RT and Rossiya Segodnya International Media Group Margarita SimonyanEditor-in-Chief of… Read More

3 days ago

Bukayo Saka sends Arsenal into Champions League final in 20 years

The Emirates Stadium was a cauldron of red and white noise on a rain-soaked Tuesday… Read More

3 weeks ago

Ruto’s Tanzania Visit Mixes Trade Wins and Refinery Gaffe

President William Ruto’s state visit to Tanzania on May 4, 2026, blended significant economic progress… Read More

3 weeks ago

Ruto’s Crackdown on Uhuru: A Brewing Political Storm in Kenya

In the high-stakes arena of Kenyan politics, old alliances are rapidly breaking down as President… Read More

3 weeks ago

Bungoma 2027 Governor Race: Local Lion vs. Nairobi Sharp Shooter – Who’s Actually Winning the War?

As Kenya hurtles toward the 2027 General Election, Bungoma County is bracing for one of… Read More

3 weeks ago