Victoria Magar
Waziri wa usalama wa ndani daktari Fred Matiang’i mapema leo alizuru kaunti ya Mombasa kukagua miradi ya serikali inayoendelea kufanywa katika kivuko cha likoni
Kivuko hicho kilizinduliwa mwishoni mwa mwaka jana baada ya msongamano iliyosababisha ajali mingi kwenye ferri miongoni mwa wasafiri kushuhudiwa.
Daktari Matiang’i amesema kuwa ameridhishwa jinsi kazi inavyoendelea na polisi watakita kambi mahali hapo kwa muda wa siku mbili ilikufwatilia jinsi kazi inaendelea na kupeana riporti kwa afisi yake .
Aliongeza kwa kuzungumzia changamoto ambazo wakaazi wanapitia
“Kuna changamoto nikifikiri ni mbili tu ya kwanza ikiwa kuwafidia wakaazi waliofurushwa kwenye ardhi hii na la pili ni swala la kuongeza wafanyikazi kwenye miradi hii iliiweze kukamilika kwa wakati”.
Alisema kuwa “mwaka huu mimi na wenzangu tutakuwa tukifanya shughuli ya ya kumaliza miradi yote ya serikali “, kisha amewahimiza wakaazi wa Mombasa kuwa atawahakikishia usalama wa kutosha kwenye kivuko hicho na viunga vyake.
Aidha baada ya shughuli hiyo alikutana na viongozi wa kiislamu na kuwakabidhi nakala ya BBI, huku akiwahimiza kuisoma na kuelewa kisha kufanya maamuzi ya busara kwani hailazimishiwi mtu.
East African Legislative Assembly (EALA) Member of Parliament Winnie Odinga has publicly reaffirmed her steadfast… Read More
The government has initiated a fresh push to rationalise urban governance by constituting a series… Read More
The United States has delivered a pointed warning to Rwanda over its alleged military involvement… Read More
Kenyan politics is often explained through elections, coalitions, and public slogans. But behind the rallies… Read More
By Maisha TV News Desk | December 4, 2025 @africanmediaawards In Addis Ababa—the continental capital… Read More
November 26, 2025 Armed soldiers stormed the presidential palace in Bissau on Wednesday afternoon, detaining… Read More