Victoria Magar
Waziri wa usalama wa ndani daktari Fred Matiang’i mapema leo alizuru kaunti ya Mombasa kukagua miradi ya serikali inayoendelea kufanywa katika kivuko cha likoni
Kivuko hicho kilizinduliwa mwishoni mwa mwaka jana baada ya msongamano iliyosababisha ajali mingi kwenye ferri miongoni mwa wasafiri kushuhudiwa.
Daktari Matiang’i amesema kuwa ameridhishwa jinsi kazi inavyoendelea na polisi watakita kambi mahali hapo kwa muda wa siku mbili ilikufwatilia jinsi kazi inaendelea na kupeana riporti kwa afisi yake .
Aliongeza kwa kuzungumzia changamoto ambazo wakaazi wanapitia
“Kuna changamoto nikifikiri ni mbili tu ya kwanza ikiwa kuwafidia wakaazi waliofurushwa kwenye ardhi hii na la pili ni swala la kuongeza wafanyikazi kwenye miradi hii iliiweze kukamilika kwa wakati”.
Alisema kuwa “mwaka huu mimi na wenzangu tutakuwa tukifanya shughuli ya ya kumaliza miradi yote ya serikali “, kisha amewahimiza wakaazi wa Mombasa kuwa atawahakikishia usalama wa kutosha kwenye kivuko hicho na viunga vyake.
Aidha baada ya shughuli hiyo alikutana na viongozi wa kiislamu na kuwakabidhi nakala ya BBI, huku akiwahimiza kuisoma na kuelewa kisha kufanya maamuzi ya busara kwani hailazimishiwi mtu.
Chebet departed JKIA (Jomo Kenyatta International Airport) over the weekend, transiting through Dubai before arriving… Read More
Nairobi, Kenya – June 19, 2025 – Kenyan Photojournalist Dishon Amanya Wins Global Award for… Read More
Nairobi, Kenya – June 10, 2025, 03:03 PM EDT President William Samoei Ruto has officially… Read More
On June 1, 2025, the latest election data from Siaya, Kisumu, Homabay, Busia, and Migori… Read More
Kobujoi, Nandi County – May 25, 2025 Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has issued a… Read More
Lurambi, Kakamega County, May 25, 2025 – Kakamega Senator Boni Khalwale has strongly criticized President… Read More