NEWS

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i azuru Pwani

Share

Victoria Magar

Waziri wa usalama wa ndani daktari Fred Matiang’i mapema leo alizuru kaunti ya Mombasa kukagua miradi ya serikali inayoendelea kufanywa katika kivuko cha likoni

Kivuko hicho kilizinduliwa mwishoni mwa mwaka jana baada ya msongamano iliyosababisha ajali mingi kwenye ferri miongoni mwa wasafiri kushuhudiwa.

Daktari Matiang’i amesema kuwa ameridhishwa jinsi kazi inavyoendelea na polisi watakita kambi mahali hapo kwa muda wa siku mbili ilikufwatilia jinsi kazi inaendelea na kupeana riporti kwa afisi yake .

Aliongeza kwa kuzungumzia changamoto ambazo wakaazi wanapitia

“Kuna changamoto nikifikiri ni mbili tu ya kwanza ikiwa kuwafidia wakaazi waliofurushwa kwenye ardhi hii na la pili ni swala la kuongeza wafanyikazi kwenye miradi hii iliiweze kukamilika kwa wakati”.

Alisema kuwa “mwaka huu mimi na wenzangu tutakuwa tukifanya shughuli ya ya kumaliza miradi yote ya serikali “, kisha amewahimiza wakaazi wa Mombasa kuwa atawahakikishia usalama wa kutosha kwenye kivuko hicho na viunga vyake.

Aidha baada ya shughuli hiyo alikutana na viongozi wa kiislamu na kuwakabidhi nakala ya BBI, huku akiwahimiza kuisoma na kuelewa kisha kufanya maamuzi ya busara kwani hailazimishiwi mtu.

Maisha Television Editorial Desk

Maisha TV Kenya is the KUZA AWARDS 2022 fastest growing TV Station. .................. 📺 Tune in to Channel 108 on StarTimes, 808 on GOTV, or any free-to-air decoder and join our community of over 8 million viewers! 🌍 1️⃣ Award-Winning Content: (KUZA AWARDS FASTEST GROWING TV 2022) Get ready to experience top-notch, critically acclaimed programs that will leave you inspired and informed. 2️⃣ News at Your Fingertips: Stay up-to-date with the latest breaking news, current affairs, and in-depth reporting. 3️⃣ A Wealth of Knowledge: Expand your horizons with fascinating educational shows, documentaries, and enlightening discussions. Broadcasting in Kisumu, Kitale, Bungoma, Vihiga, Siaya, Migori, Webuye, Kakamega, Homabay, Mumias, Malaba, Moi's Bridge, Makutano, Kapenguria, Busia, Lwakhakha, Mt. Elgon, Turbo, Malava, Yala, Kisii, and its environs Website: maishatv.co.ke || Twitter: maishatvke || Facebook: Maisha Television Kenya || Instagram: maishatvke

Published by
Maisha Television Editorial Desk

Recent Posts

Maisha TV’s Ridah Chebet Selected as Kenya’s Sole Delegate to RT Academy 2025, Moscow

Chebet departed JKIA (Jomo Kenyatta International Airport) over the weekend, transiting through Dubai before arriving… Read More

4 months ago

Kenyan Photojournalist Dishon Amanya Captivates Global Audiences with Powerful Visual Storytelling

Nairobi, Kenya – June 19, 2025 – Kenyan Photojournalist Dishon Amanya Wins Global Award for… Read More

5 months ago

President Ruto Appoints New IEBC Commissioners

Nairobi, Kenya – June 10, 2025, 03:03 PM EDT President William Samoei Ruto has officially… Read More

5 months ago

Election Dynamics in Nyanza: Can Raila Sway Voters for Ruto in 2027 Amid Historical Apathy?

On June 1, 2025, the latest election data from Siaya, Kisumu, Homabay, Busia, and Migori… Read More

5 months ago

Kenya Government Vows to Disarm Gachagua’s Alleged Private Militia Amid Incitement Allegations

Kobujoi, Nandi County – May 25, 2025 Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has issued a… Read More

6 months ago

Kakamega Senator Boni Khalwale Slams Proposed Exam Fee Removal, Warns of Harm to Poor Students

Lurambi, Kakamega County, May 25, 2025 – Kakamega Senator Boni Khalwale has strongly criticized President… Read More

6 months ago