NEWS

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i azuru Pwani

Share

Victoria Magar

Waziri wa usalama wa ndani daktari Fred Matiang’i mapema leo alizuru kaunti ya Mombasa kukagua miradi ya serikali inayoendelea kufanywa katika kivuko cha likoni

Kivuko hicho kilizinduliwa mwishoni mwa mwaka jana baada ya msongamano iliyosababisha ajali mingi kwenye ferri miongoni mwa wasafiri kushuhudiwa.

Daktari Matiang’i amesema kuwa ameridhishwa jinsi kazi inavyoendelea na polisi watakita kambi mahali hapo kwa muda wa siku mbili ilikufwatilia jinsi kazi inaendelea na kupeana riporti kwa afisi yake .

Aliongeza kwa kuzungumzia changamoto ambazo wakaazi wanapitia

“Kuna changamoto nikifikiri ni mbili tu ya kwanza ikiwa kuwafidia wakaazi waliofurushwa kwenye ardhi hii na la pili ni swala la kuongeza wafanyikazi kwenye miradi hii iliiweze kukamilika kwa wakati”.

Alisema kuwa “mwaka huu mimi na wenzangu tutakuwa tukifanya shughuli ya ya kumaliza miradi yote ya serikali “, kisha amewahimiza wakaazi wa Mombasa kuwa atawahakikishia usalama wa kutosha kwenye kivuko hicho na viunga vyake.

Aidha baada ya shughuli hiyo alikutana na viongozi wa kiislamu na kuwakabidhi nakala ya BBI, huku akiwahimiza kuisoma na kuelewa kisha kufanya maamuzi ya busara kwani hailazimishiwi mtu.

Maisha Television Editorial Desk

Maisha TV Kenya is the KUZA AWARDS 2022 fastest growing TV Station. .................. 📺 Tune in to Channel 108 on StarTimes, 808 on GOTV, or any free-to-air decoder and join our community of over 8 million viewers! 🌍 1️⃣ Award-Winning Content: (KUZA AWARDS FASTEST GROWING TV 2022) Get ready to experience top-notch, critically acclaimed programs that will leave you inspired and informed. 2️⃣ News at Your Fingertips: Stay up-to-date with the latest breaking news, current affairs, and in-depth reporting. 3️⃣ A Wealth of Knowledge: Expand your horizons with fascinating educational shows, documentaries, and enlightening discussions. Broadcasting in Kisumu, Kitale, Bungoma, Vihiga, Siaya, Migori, Webuye, Kakamega, Homabay, Mumias, Malaba, Moi's Bridge, Makutano, Kapenguria, Busia, Lwakhakha, Mt. Elgon, Turbo, Malava, Yala, Kisii, and its environs Website: maishatv.co.ke || Twitter: maishatvke || Facebook: Maisha Television Kenya || Instagram: maishatvke

Recent Posts

Winnie Odinga Reasserts her Allegiance to ODM Leadership Under Oburu Odinga

East African Legislative Assembly (EALA) Member of Parliament Winnie Odinga has publicly reaffirmed her steadfast… Read More

1 month ago

Government Constitutes Special Committees to Re-draw Urban Boundaries in Embu, Turkana and Wajir

The government has initiated a fresh push to rationalise urban governance by constituting a series… Read More

1 month ago

U.S. Issues Stark Warning to Rwanda, Signals Trump-Era Repercussions Weeks After DRC Peace Deal

The United States has delivered a pointed warning to Rwanda over its alleged military involvement… Read More

1 month ago

Ruto vs Jirongo: The Political Feud That Shaped Kenya’s Power Game

Kenyan politics is often explained through elections, coalitions, and public slogans. But behind the rallies… Read More

1 month ago

Military Seizes Power in Guinea-Bissau Amid Post-Election ChaosBissau, Guinea-Bissau –

November 26, 2025 Armed soldiers stormed the presidential palace in Bissau on Wednesday afternoon, detaining… Read More

2 months ago