NEWS

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i azuru Pwani

Share

Victoria Magar

Waziri wa usalama wa ndani daktari Fred Matiang’i mapema leo alizuru kaunti ya Mombasa kukagua miradi ya serikali inayoendelea kufanywa katika kivuko cha likoni

Kivuko hicho kilizinduliwa mwishoni mwa mwaka jana baada ya msongamano iliyosababisha ajali mingi kwenye ferri miongoni mwa wasafiri kushuhudiwa.

Daktari Matiang’i amesema kuwa ameridhishwa jinsi kazi inavyoendelea na polisi watakita kambi mahali hapo kwa muda wa siku mbili ilikufwatilia jinsi kazi inaendelea na kupeana riporti kwa afisi yake .

Aliongeza kwa kuzungumzia changamoto ambazo wakaazi wanapitia

“Kuna changamoto nikifikiri ni mbili tu ya kwanza ikiwa kuwafidia wakaazi waliofurushwa kwenye ardhi hii na la pili ni swala la kuongeza wafanyikazi kwenye miradi hii iliiweze kukamilika kwa wakati”.

Alisema kuwa “mwaka huu mimi na wenzangu tutakuwa tukifanya shughuli ya ya kumaliza miradi yote ya serikali “, kisha amewahimiza wakaazi wa Mombasa kuwa atawahakikishia usalama wa kutosha kwenye kivuko hicho na viunga vyake.

Aidha baada ya shughuli hiyo alikutana na viongozi wa kiislamu na kuwakabidhi nakala ya BBI, huku akiwahimiza kuisoma na kuelewa kisha kufanya maamuzi ya busara kwani hailazimishiwi mtu.

Maisha Television Editorial Desk

Maisha TV Kenya is the KUZA AWARDS 2022 fastest growing TV Station. .................. 📺 Tune in to Channel 108 on StarTimes, 808 on GOTV, or any free-to-air decoder and join our community of over 8 million viewers! 🌍 1️⃣ Award-Winning Content: (KUZA AWARDS FASTEST GROWING TV 2022) Get ready to experience top-notch, critically acclaimed programs that will leave you inspired and informed. 2️⃣ News at Your Fingertips: Stay up-to-date with the latest breaking news, current affairs, and in-depth reporting. 3️⃣ A Wealth of Knowledge: Expand your horizons with fascinating educational shows, documentaries, and enlightening discussions. Broadcasting in Kisumu, Kitale, Bungoma, Vihiga, Siaya, Migori, Webuye, Kakamega, Homabay, Mumias, Malaba, Moi's Bridge, Makutano, Kapenguria, Busia, Lwakhakha, Mt. Elgon, Turbo, Malava, Yala, Kisii, and its environs Website: maishatv.co.ke || Twitter: maishatvke || Facebook: Maisha Television Kenya || Instagram: maishatvke

Recent Posts

Bukayo Saka sends Arsenal into Champions League final in 20 years

The Emirates Stadium was a cauldron of red and white noise on a rain-soaked Tuesday… Read More

6 days ago

Ruto’s Tanzania Visit Mixes Trade Wins and Refinery Gaffe

President William Ruto’s state visit to Tanzania on May 4, 2026, blended significant economic progress… Read More

7 days ago

Ruto’s Crackdown on Uhuru: A Brewing Political Storm in Kenya

In the high-stakes arena of Kenyan politics, old alliances are rapidly breaking down as President… Read More

7 days ago

Bungoma 2027 Governor Race: Local Lion vs. Nairobi Sharp Shooter – Who’s Actually Winning the War?

As Kenya hurtles toward the 2027 General Election, Bungoma County is bracing for one of… Read More

7 days ago

Ruto meets Kakamega MPs ahead of Sifuna’s mega rally in the Region

In a maneuver as astutely orchestrated as it was unmistakably conspicuous, President William Ruto summoned… Read More

3 months ago